Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu), Bi. Dorothy Mwaluko akimkabidhi zawadi aliyekuwa Mkurugenzi, Idara ya Uwekezaji Ofisi ya Waziri Mkuu Cleophas Ruhumbika, ambayo ni Picha yake aliyochorwa mstaafu huyo , wakati wa kumpongeza kwa kustaafu utumishi wake wa Umma leo, tarehe 21, Septemba, 2019.





Kaimu Mkurugenzi Idara ya Uwekezaji Ofisi ya Waziri Mkuu, Aristides Mbwasi, akilishwa keki na aliyekuwa Mkurugenzi Idara ya Uwekezaji , Cleophas Ruhumbika ambaye amestaafu, wakati wa kumpongeza kwa kustaafu utumishi wake wa Umma leo, tarehe 21, Septemba, 2019.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu)Bi. Dorothy Mwaluko, akilishwa keki na aliyekuwa Mkurugenzi Idara ya Uwekezaji , Cleophas Ruhumbika ambaye amestaafu, wakati wa kumpongeza kwa kustaafu rasmi utumishi wake wa Umma leo, tarehe 21, Septemba, 2019.
Baadhi ya Watumishi Ofisi ya Waziri Mkuu wakifuatilila tukio la kumuuga rasmi aliyekuwa Mkurugenzi Idara ya Uwekezaji , Cleophas Ruhumbika ambaye amestaafu, wakati wa kumpongeza kwa kustaafu utumishi wake wa Umma rasmi, leo, tarehe 21, Septemba, 2019.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu), Dorothy Mwaluko akieleza jinsi aliyekuwa Mkurugenzi, Idara ya Uwekezaji Ofisi ya Waziri Mkuu, Cleophas Ruhumbika, (kushoto kwake) anapaswa kuwa mfano wa kuigwa katika kuchapa kazi kwa ufanisi na weledi, wakati wa kumpongeza kwa kustaafu rasmi utumishi wake wa Umma leo, tarehe 21, Septemba, 2019.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...