Afisa Utumishi Mwandamizi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Bw. Fadhili Mbaga (aliyevaa shati la bluu) akitoa elimu kwa umma kuhusu namna ya uendeshaji wa mashauri kwa baadhi ya wananchi waliofika mahakamani hapo leo kwa ajili ya kupata huduma mbalimbali za kimahakama.
Bi. Elizabeth Sendeu Huber (aliyesimmama nyuma) akiuliza kuhusu suala la uhairishwaji wa kesi na kupendekeza utoaji taarifa mapema juu ya suala hilo, wakati wa utoaji elimu kwa umma, uliofanyika Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam leo. 
Hakimu Mkazi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Mganga Magesa, (aliyevaa suti) akitoa ufafanuzi juu ya upatikanaji wa nakala ya hukumu wakati wa utoaji elimu kwa umma mahakamani hapo leo.
Bw. Yusuph Amiri akiuliza jambo wakati wa utoaji elimu kwa umma ukiendelea mahakamani hapo.(Picha na Aziza Muhali-SJMC)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...