Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hasssan, akiangalia Vitabu vya kumbukumbu ya Utafiti wa aina mbalimbali kwenye maonesho ya kilele cha Maadhimisho ya kutimia Miaka 25 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika leo Sept 24,2019 Kinondoni Jijini Dar es salaam, Makamu wa Rais amemuwakilisha Rais Dkt. John Magufuli kwenye maadhimisho hayo.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hasssan, akihutubia kwenye kilele cha Maadhimisho ya kutimia Miaka 25 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika leo Sept 24,2019 Kinondoni Jijini Dar es salaam, Makamu wa Rais amemuwakilisha Rais Dkt. John Magufuli kwenye maadhimisho hayo.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hasssan, akizungumza na Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Mhe. Mizengo Kayanda Peter Pinda Wakati wa kilele cha Maadhimisho ya kutimia Miaka 25 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika leo Sept 24,2019 Kinondoni Jijini Dar es salaam, Makamu wa Rais amemuwakilisha Rais Dkt. John Magufuli kwenye maadhimisho hayo.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hasssan, akizungumza na wanafunzi wa shule ya Sekondari Kinondoni baada ya kuhutubia kilele cha Maadhimisho ya kutimia Miaka 25 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika leo Sept 24,2019 Kinondoni Jijini Dar es salaam, Makamu wa Rais amemuwakilisha Rais Dkt. John Magufuli kwenye maadhimisho hayo.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hasssan, akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Mafunzo katika Chuo Kikuu Huria Prof. Emmanuel Kigabe, kuhusu Vitabu vya kumbukumbu ya Utafiti wa aina mbalimbali kwenye maonesho ya kilele cha Maadhimisho ya kutimia Miaka 25 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika leo Sept 24,2019 Kinondoni Jijini Dar es salaam, Makamu wa Rais amemuwakilisha Rais Dkt. John Magufuli kwenye maadhimisho hayo.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hasssan, akipata maelezo kutoka kwa Sebastian Sambuo Mushi, kuhusu Utaalamu na Biashara ya Mchele kwenye maonesho ya kilele cha Maadhimisho ya kutimia Miaka 25 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika leo Sept 24,2019 Kinondoni Jijini Dar es salaam, Makamu wa Rais amemuwakilisha Rais Dkt. John Magufuli kwenye maadhimisho hayo. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...