
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla akizungumza na viongozi na Wazee wa Kimila wa Kabila la Masai wanaoishi katika eneo la hifadhi ya Ngorongoro , viongozi wa Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro alipokutaa nao kujadili changamoto za hifadhi ya Ngorongoro na hatua shirikishi za uhifadhi zilizopangwa kuchukuliwa na Serikali kwa wananchi wanaoishi katika eneo hilo.


Baadhi ya viongozi na Wazee wa Kimila wa kabila la masai wanaoishi katika eneo la hifadhi ya Ngorongoro wakifuatilia kwa makini mkutano kati yao na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla wilayani Ngorongoro.
PICHA – Aron Msigwa – WMU.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...