Afisa Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa la Dar Es Salaam (DSE), Moremi Marwa akizungumza na wanahisa waliojitokeza kupata mafunzo ya uwekezaji kwenye soko la Hisa yaliyotolewa kupitia Vodacom. Mafunzo yalifanyika jijini Dar Es Salaam leo.
Sehemu ya wanahisa waliojitokeza kwenye mafunzo ya uwekezaji kwenye soko la Hisa yaliyolewa na Vodacom, mafunzo yalifanyika jijini Dar Es Salaam leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...