Mkurugenzi wa Idara ya Habari –MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serilkali, Dkt.Hassan Abbasi akizungumza na Menejimenti ya wafanyakazi wa Wakala wa Usajili wa Leseni na Biashara (BRELA) alipotembelea kwa zira ya kikazi iliyofanyika Jijini Dar es Salaam, Septemba 4, 2019.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari –MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serilkali, Dkt.Hassan Abbasi, akisistiza jambo kwa Menejimenti ya wafanyakazi wa Wakala wa Usajili wa Leseni na Biashara (BRELA) alipotembelea kwa zira ya kikazi Septemba 4, 2019.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari –MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serilkali, Dkt.Hassan Abbasi, akifurahia jambo na wafanyakazi wa Wakala waUsajili wa Leseni na Biashara (BRELA) pamoja na Viongozi Chama cha Maafisa Mawasiliano na Mahusiano Serikalini(TAGCO) wakati wa zaira ya kikazi iliyofanyika Jijini Dar es Salaam, Septemba 4, 2019.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari –MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serilkali, Dkt.Hassan Abbasi, akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Wakala wa Usajili wa Leseni na Biashara (BRELA) pamoja na Viongozi Chama cha Maafisa Mawasiliano na Mahusiano Serikalini(TAGCO) wakati wa zaira ya kikazi iliyofanyika Jijini Dar es Salaam, Septemba 4, 2019.

Picha na Idara ya Habari-MAELEZO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...