Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba (kushoto) na Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe (katikati), Bungeni jijini Dodoma, Septemba 6.2019.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, Bungeni jijini Dodoma, Septemba 6.2019.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, nje ya jengo la Bunge, jijini Dodoma, Septemba 6.2019.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mwita Waitara, nje ya jengo la Bunge, jijini Dodoma, Septemba 6.2019.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na wanafunzi wa shule ya Capital Dodoma, nje ya jengo la Bunge, jijini Dodoma, Septemba 6.2019.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Septemba 6.2019.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...