Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akisisitiza jambo wakati akikagua ujenzi wa nyumba ya katibu wa Bunge uzunguni Jijini Dodoma. Wageni wengine ni Wajumbe wa Tume ya utumishi ya Ofisi ya Bunge
Mkurugenzi wa Taarifa Rasmi za Bunge, Hanifa Massinga akizungumza jambo mbele ya Wajumbe wa Tume ya utumishi wa Ofisi ya Bunge wakati walipotembelea kwa ajili ya ukaguzi wa mashine mpya zilizoletwa katika Ofisi hiyo leo Septemba 12, 2019 katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
Katibu wa Bunge, Stephen Kagaigai akizungumza jambo mbele ya Wajumbe wa Tume ya utumishi wa Ofisi ya Bunge wakati.
Spika wa Bunge, Job Ndugai (katikati) akisisitiza jambo wakati akikagua ujenzi wa nyumba ya katibu wa Bunge uzunguni Jijini Dodoma. Wageni wengine ni Wajumbe wa Tume ya utumishi ya Ofisi ya Bunge.
Spika wa Bunge, Job Ndugai (wanne kushoto) katika picha ya pamoja na Washindi wa Shindano la Miss Tanzania 2019, na Waandaaji wa Mashindano hayo walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Wa pili kulia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Peter Serukamba
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...