Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira ,ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Dodoma mjini,Mh Anthony Mavunde leo amekutana na Waendesha Boda Boda wa jimbo hilo na kusikiliza changamoto zao mbalimbali walizonazo kwenye shughuli zao za kila siku .
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...