Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana na Ajira ,ambaye pia ni  Mbunge wa Jimbo la Dodoma mjini,Mh Anthony Mavunde leo amekutana na Waendesha Boda Boda wa jimbo hilo na kusikiliza changamoto zao mbalimbali  walizonazo kwenye shughuli zao za kila siku . 

Mh Mavunde alisikiliza changamoto za Waendesha Boda boda na Bajaj na baadaye kuwakabidhi vifaa vya usalama wakati wakiendesha vifaa vyao vya moto (Safety Jackets) 600  pamoja na mafuta (OIL) dumu la lita 1 kwa watu  600 kutoka Kampuni ya Mafuta ya MOGAS.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...