Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Bw. Hussein Kattanga(wa pili kulia) akimweleza jambo Mtendaji wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Lindi, Bw. Joseph Chota wa (kwanza kulia).
Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Bw. Hussein Kattanga ( wa kwanza ) na kulia ni Hakimu Mfawidhi Mahakama ya Hakimu Mkazi Lindi , Mhe. James Karayemaha na kushoto (aliyevaa kofia) ni Mtendaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Bw. Leonard Magacha, wakikagua kiwanja cha ambacho kinatarajiwa kujengwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Lindi.
Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Bw. Hussein Kattanga (aliyenyoosha mkono) akiwa na wahandisi, wakiwemo viongozi wengine wakikagua ramani ya kiwanja kinachotarajiwa kujengwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Lindi.
Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Bw. Hussein Kattanga kulia) akisaini kitabu cha wageni katika kiwanja kinachotarajiwa kujengwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Lindi. Kushoto ni Hakimu Mfawidhi Mahakama ya Hakimu Mkazi Lindi, Mhe. James Karayemaha.


Muonekano wa mbele wa jengo la Mahakama ya Wilaya ya Kilwa.


Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Bw. Hussein Kattanga(kulia) akikagua ramani ya Mahakama ya Wilaya Kilwa.


Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Bw. Hussein Kattanga (katikati) akikagua jengo la Mahakama ya Wilaya ya Ruangwa.


Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Bw. Hussein Kattanga (kulia) akikagua jengo la Mahakama ya Wilaya ya Kilwa.


Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Bw. Hussein Kattanga (kulia) akikagua jengo la Mahakama ya Wilaya ya Kilwa.

(Picha na Hillary Rory – Lindi)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...