Naibu
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe Dkt Angeline Mabula
akiwa na mtoto wake David Mabula (wa tatu kushoto) na mkewe Sandra Ndiwu
wakisikiliza maelekezo kwa makini wakati wa hafla ya kuwapongeza
kufunga ndoa. Hafla hiyo ilifanyika ukumbi wa Malaika Beach Resort
jijini Mwanza mwishoni mwa wiki.











Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...