RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimkabidhi mlango wa Zanzibar mwenyeji wake Mtawala wa Ras Al Khaimah Sheikh Saud Bin Alqasimi, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika makaazi yake Ras Al Khaimah,leo 23/9/2019.(Picha na Ikulu).
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti waBaraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Mtawala wa Ras Al Khaimah Sheikh.Saud Bin Saqr Alqasimi, alipofika katika makaazi yake Al Dhait Raa Al Khaimah, akiwa katika ziara yake leo 23/9/2019.
UJUMBE wa Mtawala wa Ras Al Khaimah wakiwa katika ukumbi wa mkutano wakati wa mazungumzo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein na mwenyeji wake Mtawala waRas Al Khaimah. Sheikh Saud Bin Alqasimi, mazungumzo hayo yamefanyika katika makazi yake Al Dhait Raa Al Khaimah

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...