Watu wawili wamepoza maisha katika ajali ya Ndege iliyotokea mapema leo huko Seronera, Serengeti mkoani Mara. Ndege hiyo mali ya Kampuni ya Auric Air inayodaiwa ilikuwa ikiruka kutokea uwanja mdogo wa Seronera kuelekea eneo la Grumet ilianguka wakati ikitaka kuruka. 

Akithibitisha kutokea kwa ajali hiyo, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Mawasiliano wa TANAPA, Pascal Shelutete amesema, ndege hiyo yenye namba ya kuruka 5H-AAM ,Shelutete amebainisha kuwa ndege hiyo ilipoteza uelekeo na kuanguka ilipokuwa ikitaka kuruka kuelekea Grumet ikiwa na abiria mmoja. 

soma hapa chini kwa taarifa .

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...