Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni,Sarah Msafiri akizungumza na wananchi wa kata ya Pemba Mnazi ,akileza kuhusu Serikali kujenga soko la samaki la kisasa katika kijiji cha Buyuni, ambapo amewaomba wananchi waitunze miradi mbalimbali ya maendeleo inayojengwa na serikali.Dc Msafiri ameyasema hayo alipokuwa katika ziara yake ya kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za wananchi,kukagua miradi mbalimbali ya Maendeleo.(Picha na Emmanuel Maasaka wa Michuzi Tv)
Mrakibu Mwandamizi wa Polisi John Makuri akizungumza na wananchi wa kata ya Pemba Mnazi akiwaeleza namba watavyotekeleza majukumu yao na mikakati mbalimbali katika suala zima la kulinda usalama wa raia na mali zao.
Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Sarah Msafiri (kulia) akisikiliza kero mbalimbli za wananchi katika ziara ya yake ya kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za wananchi ikiwemo na kukagua miradi mbalimbali ya Maendeleo.
Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Sarah Msafiri (katikati) akiwa ameambatana na viongozi mbalimbali wakikagua eneo lililotolewa na wananchi bure kwa ajili ya kujenga soko la kisasa la samaki katika kijiji cha Buyuni kata ya Pemba Mnazi jijini Dar es Salaam.
mkutano ukiendelea 
wananchi wa kijiji cha Buyuni kata ya Pemba Mnazi wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Sarah Msafiri .(Picha na Emmanuel Maasaka wa Michuzi Tv)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...