Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akiteta jambo na Balozi wa Zimbabwe nchini Tanzania, Lt. Jenerali Mstaafu, Anselem Nhamo Sanyatwe baada ya mazungumzo yaliyofanyika leo katika Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa Mjini Dodoma.

Balozi wa Zimbabwe nchini Tanzania, Lt. Jenerali Mstaafu, Anselem Nhamo Sanyatwe akizungumza na viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya kongwa wakati alipowatembelea leo Mjini Dodoma. Kushoto kwake ni Spika wa Bunge na Mbunge wa kongwa, Mhe. Job Ndugai na kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Kongwa, Mhe. Deogratius Ndejembi.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wa pili kushoto) akiongozana na Balozi wa Zimbabwe nchini Tanzania, Lt. Jenerali Mstaafu, Anselem Nhamo Sanyatwe (wa pili kulia) wakati alipotembelea Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa leo Mjini Dodoma. Wa tatu kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Kongwa, Mhe. Deogratius Ndejembi na Wa tatu kushoto ni Mwenyekiti wa Halmshauri ya Wilaya ya Kongwa, Ndg. White Zuberi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...