Katika kuadhimisha siku ya usafi duniani wafanyakazi wa benki ya NMB wameshiriki kufanya usafi katika maeneo mbalimbali nchini kote, tazama matukio ya picha katika mikoa na maeneo mbalimbali zikionesha wafanyakazi hao wakifanya usafi.
Wafanyakazi wa benki ya NMB Kanda ya Mashariki wakiendelea na usafi.


Wafanyakazi wa benki ya NMB Kanda ya Mashariki wakiendelea na usafi.
Wafayakazi wa benki ya NMB Tarime Mkoani Mara wakiendelea wakifanya usafi jana katika mji wa huo.

Wafanyakazi wa benki ya NMB tawi la Sengerema mkoani Mwanza nao walishiriki katika kufanya usafi kwenye mji huo.

Wafanayakazi wa benki ya NMB tawi la Kalius mkoa wa Tabora nao walishiriki katika kufanya usafi kwenye mji huo
Wafanyakazi wa NMB Kanda ya Dar es salaam nao walifanya usafi jijini Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...