Na Shani Amanzi 

Naibu Katibu Mkuu wa UWT Taifa Mhe.Jesca Mbogo awataka wanawake wa Chemba wasiishi kwa kuchukiana badala yake washirikiane na wafanye kazi kwa pamoja kwani Serikali ya awamu ya tano ni ya kuchapa kazi na watumie fursa zilizopo katika kujikwamua kiuchumi badala ya kuwa na majungu kwani majungu si mtaji. 

“kumekuwa na zana ya ujasirimali ulioanza toka zamani lakini kutokana na dunia inatanuka kiuchumi na sayansi na teknolojia ni vyema nanyi kuwa wabunifu katika kukuza ujasirimali wenu kwani lengo la kuja leo sio tuu kuwainua wakinamama kiuchumi bali pia makundi ya walemavu amnapo wapo wa jinsia zote na mtambue kuwa Chama hichi cha Mapinduzi kinawajali na kuwathamini wananchi wote kwani maendeleo yenu ni maendeleo ya nchi nzima”aliongeza kwa kusema hivyo Mhe.Jesca Mbogo. 

Mkuu wa Wilaya ya Chemba Mhe.Simon Odunga “ katika wilaya tunaendelea kuweka kipaumbele kwa wananchi hususani katika mambo yatayowasaidia kimaendeleo kwa kushirikiana na viongozi wa chama pamoja na Halmashauri ya wilaya ya Chemba ikiwemo katika maboresho ya barabara ingawa Chemba inaendelea kukua, tunabuni njia mbalimbali za kupata mapato ya ndani ya wilaya pamoja na kutatua kero ya maji kwa wananchi” 

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba Dkt.Semistatus H.Mashimba amesema kwa upande wa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba tumeweza kutoa mkopo kwa kina mama pamoja na vijana na ile 10% 



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...