Kikundi cha ngoma toka Tanzania kikitoa burudani ya ngoma ya kabila la wagogo wakati wa Tamasha la Utamaduni wa nchi za Afrika Mashariki (JAMAFEST)mapema hii leo katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Kikundi cha ngoma toka Tanzania kikitoa burudani ya ngoma ya kabila la wanyihaS wakati wa Tamasha la Utamaduni wa nchi za Afrika Mashariki (JAMAFEST)mapema hii leo katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Wanafunzi wa shuule msingi Umoja toka Tanzania wakitoa burudani ya ngoma ya kabila la wanyasa wakati wa Tamasha la Utamaduni wa nchi za Afrika Mashariki (JAMAFEST)mapema hii leo katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Wanafunzi wa shuule msingi Fontain Gate toka Dodoma nchini Tanzania wakitoa burudani ya ngoma wakati wa Tamasha la Utamaduni wa nchi za Afrika Mashariki (JAMAFEST)mapema hii leo katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Wananchi wakipata burudani ya ngoma wakati wa Tamasha la Utamaduni wa nchi za Afrika Mashariki (JAMAFEST)mapema hii leo katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Wasanii wa maigizo toka nchini Kenya wakitoa burudani wakati wa Tamasha la Utamaduni wa nchi za Afrika Mashariki (JAMAFEST)mapema hii leo katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Wasanii toka kituo cha Jeshi la Uokovu wakitoa burudani wakati wa Constantine Kanyasu
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu akiangalia bidhaa mbalimbali za kitamaduni wakati alpotembelea Tamasha la Utamaduni wa nchi za Afrika Mashariki (JAMAFEST) mapema hii leo katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...