Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Uwekezaji Mhe.Angellah Kairuki akioneshwa mitambo ya kuchakata mahindi na kusaga unga wa sembe na Mkuu wa Kikosi cha JKT Mlale Kanali Absolomon Shausi alipotembelea kukagua namna Kikosi hicho kilivyowekeza katika shughuli za uzalishaji.Kiwanda hicho kipo Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma.



Baadhi ya vijana wa JKT wakiimba wimbo wa kumkaribisha Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Uwekezaji Mhe.Angellah Kairuki (hayupo pichani) alipotembelea kiwanda cha kuchakata mahindi cha JKT Mlale mkoni Ruvuma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Uwekezaji Mhe.Angellah Kairuki akiteta jambo na Mkuu wa Kikosi cha JKT Mlale Kanali Absolomon Shausi alipotembelea kiwanda cha kuchakata mahindi cha JKT Mlale mkoni Ruvuma.








Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...