Ofisi ya Mkoa wa Kihuduma wa Kawe wa Mamlaka ya majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASA) wameadhimisha wiki ya huduma kwa wateja kwa kukata keki na wateja wao.

Maadhimisho hayo ni katika kuhakikisha  wiki ya huduma kwa wateja inaenda sambamba na kuwasogeza wateja karibu zaidi.

Wiki ya huduma kwa wateja imeanza Oktoba 7 na Kumalizika Oktoba 11 na maadhimisho yake ni kila mwanzoni mwa mwezi Oktoba kila mwaka. 
 Meneja huduma kwa wateja DAWASA, Doreen Kiwango akikata keki na wafanyakazi wa DAWASA mkoa wa Kawe wakati maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja yaliyoanza Oktoba 7 na kumalizika Oktoba 11, 2019 na maadhimisho yamefanyika katika ofisi za DAWASA  Kawe leo jijini Dar es Salaam.
 Meneja huduma kwa wateja DAWASA, Doreen Kiwango(kushoto) akilisha keki Afisa Biashara DAWASA mkoa wa Kawe Jimmy Chuma(kulia) wakati maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja yaliyoanza Oktoba 7 na kumalizika Oktoba 11, 2019.
 Meneja huduma kwa wateja DAWASA, Doreen Kiwango(kushoto) akilisha keki Afisa wa DAWASA mkoa wa Kawe, Violet Mgeta(kulia) wakati maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja yaliyoanza Oktoba 7 na kumalizika Oktoba 11, 2019.

Meneja huduma kwa wateja DAWASA, Doreen Kiwango(kushoto) akilishwa keki na Afisa wa DAWASA mkoa wa Kawe, Peresy Mzonya(kulia) wakati maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja yaliyoanza Oktoba 7 na kumalizika Oktoba 11, 2019.
Meneja huduma kwa wateja DAWASA, Doreen Kiwango(kushoto) akiwalisha keki wafanyakazi wa DAWASA mkoa wa Kawe wakati maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja yaliyoanza Oktoba 7 na kumalizika Oktoba 11, 2019.
 Meneja huduma kwa wateja DAWASA, Doreen Kiwango akiwa kwenye icha ya pamoja na wafanyakazi wa DAWASA mkoa wa Kawe wakati maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja yaliyoanza Oktoba 7 na kumalizika Oktoba 11, 2019.
Wafanyakazi wa DAWASA mkoa wa Kawe wakijipiga "selfie"  kwa furaha ya kuwahudumia wateja wao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...