Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya siku mbili ya kutoa huduma za dharula na jinsi ya kuwahudumia wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalum wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumalizika kwa mafunzo hayo. Jumla ya washiriki 75 kutoka Hospitali za Taifa Muhimbili (MNH), Taasisi ya Mifupa MOI, Amana, Mwananyamala, Temeke na Mloganzila walihudhuria mafunzo hayo yaliyoandaliwa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Idara ya usingizi na wagonjwa walioko katika uangalizi maalum.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akieleza umuhimu wa mafunzo ya kutoa huduma za dharula na jinsi ya kuwahudumia wagonjwa walioko katika chumba cha uangalizi maalum (ICU) yanavyoweza kuokoa maisha ya mgonjwa. Jumla ya washiriki 75 kutoka Hospitali za Taifa Muhimbili (MNH), Taasisi ya Mifupa MOI, Amana, Mwananyamala, Temeke na Mloganzila walihudhuria mafunzo hayo yaliyoandaliwa na JKCI Idara ya usingizi na wagonjwa walioko katika uangalizi maalum. Picha na JKCI
 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akimkabidhi Daktari Bingwa wa usingizi na wagonjwa walioko katika chumba cha uangalizi maalum (ICU) wa Taasisi ya mifupa MOI Asha Abdulla cheti cha ushiriki wa mafunzo ya siku mbili ya kutoa huduma za dharula na jinsi ya kuwahudumia wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalum. Jumla ya washiriki 75 kutoka Hospitali za Taifa Muhimbili (MNH), Taasisi ya Mifupa MOI, Amana, Mwananyamala, Temeke na Mloganzila walihudhuria mafunzo hayo yaliyoandaliwa na JKCI Idara ya usingizi na wagonjwa walioko katika uangalizi maalum.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akimkabidhi Daktari wa usingizi na wagonjwa walioko katika chumba cha uangalizi maalum (ICU) wa Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila Nsia Mushi heti cha ushiriki wa mafunzo ya siku mbili ya kutoa huduma za dharula na jinsi ya kuwahudumia wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalum. Jumla ya washiriki 75 kutoka Hospitali za Taifa Muhimbili (MNH), Taasisi ya Mifupa MOI, Amana, Mwananyamala, Temeke na Mloganzila walihudhuria mafunzo hayo yaliyoandaliwa na JKCI Idara ya usingizi na wagonjwa walioko katika uangalizi maalum.
 Daktari Bingwa wa usingizi na wagonjwa walioko katika chumba cha uangalizi maalum (ICU) wa Taasisi ya mifupa MOI Asha Abdulla akitoa neno la shukrani wakati wa kufungwa kwa mafunzo ya siku mbili ya kutoa huduma za dharula na jinsi ya kuwahudumia wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalum. Jumla ya washiriki 75 kutoka Hospitali za Taifa Muhimbili (MNH), Taasisi ya Mifupa MOI, Amana, Mwananyamala, Temeke na Mloganzila walihudhuria mafunzo hayo yaliyoandaliwa na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Idara ya usingizi na wagonjwa walioko katika uangalizi maalum.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...