Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC),
Mhe. Nangenjwa Kaboyoka, akitoa maelekezo kwa Katibu Mkuu wa Wizara
ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Arch. Elius
Mwakalinga, (hayupo pichani) mara baada ya Sekta yake kuwasilisha
taarifa ya hesabu zake mbele ya Kamati hiyo, jijini Dodoma.
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC),
wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano
(Sekta ya Ujenzi), Arch. Elius Mwakalinga, (hayupo pichani), wakati
akiwasilisha taarifa ya hesabu za Sekta yake mbele ya kamati hiyo.
Mbunge wa Viti maalum mkoa wa Singida, Mheshimiwa Asha-Rose
Matembe, akitoa maoni yake kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Arch. Elius Mwakalinga
(hayupo pichani), mara baada ya Katibu Mkuu huyo kuwasilisha taarifa ya
hesabu za Sekta yake kwa Kamati hiyo.

PICHA NA WWUM

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...