Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Joseph Malongo akiongoza kikao kazi alipokutana na Idara ya Mazingira pamoja na Menejimenti ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) leo katika ukumbi wa Ofisi ya Makamu wa Rais jijini Dodoma.
Watendaji kutoka Idara ya Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais na Menejimenti ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) wakiwa katika kikao na Katibu Mkuu Mhandisi Joseph Malongo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...