Mbio za Marathon zimekuwa ni sehemu ya Maisha ya watu wengi hasa mijini na kwa kiwango kikubwa imechochea sana kuboresha maisha ya Watanzania wengi. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Familia Marathon Balozi wa Familia Marathon Veronica Kundya alisema “ mazoezi yana mchango mkubwa wa kuboresha afya ya Familia hivyo kujenga taifa bora la lenye nguvu la kesho”.Mbio hizo za Familia Marathon zinatarajiwa kufanyika Disemba 8 2019 jijini Dar Es Salaam
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...