Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akitoa huduma kwa mteja aliyepiga simu katika kitengo cha huduma kwa wateja cha benki hiyo, ikiwa ni muendelezo wa wiki ya huduma kwa wateja inayoendelea hivi sasa Duniani kote. Kushoto ni Afisa wa Benki ya CRDB Kitengo cha Huduma kwa Wateja, Maria Nyabitwano.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akifatilia maoni ya wateja mbalimbali waliyoyatuma kupitia mitandao ya kijamii, ikiwa ni muendelezo wa wiki ya huduma kwa wateja inayoendelea hivi sasa Duniani kote.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akiuliza jambo kwa Afisa wa Benki ya CRDB Kitengo cha Huduma kwa Wateja, Emmanuel Chance kutoka kwenye moja ya barua pepe iliotumwa na mteja, ikiwa ni muendelezo wa wiki ya huduma kwa wateja inayoendelea hivi sasa Duniani kote. Wanaoshuhudia ni Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa pamoja na Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja, Yolanda Uriyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akimsikiliza Kiongozi wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja, Marvel Kyando alipokuwa akimueleza namna huduma hiyo inavyotokewa na kitengo hicho.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...