Naibu Spika wa Bunge na Mwenyekiti mwenza wa Bodi ya Mradi kulijengea Bunge Uwezo (Legislative Support Project-LSP II) Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiongoza kikao cha Bodi hiyo Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam. Kulia kwa Naibu Spika ni Mwenyekiti mwenza wa Bodi hiyo na Mwakilishi Mkaazi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Bi. Christine Musisi. Wengine katika kikao hicho ni Wajumbe wa Bodi hiyo kutoka pande zote mbili.
PICHA NA BUNGE
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...