MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na Wazee wa CCM wa Wilaya ya Chakechake Pemba, katika ukumbi wa mkutano wa ZSTC kiwanda cha Makonyo Wawi, kulia Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kusini Pemba Ndg.Yussuf Ali Juma na kushoto Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar.Dr. Abdalla Juma MabodiMWENYEKITI wa Wazee wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Chakechake Pemba.Ndg.Haji Hamad Kombo akizungumza kwa niaba wa Wazee wakati wa mkutano huo na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, uliofanyika katika ukumbi wa Kiwanda cha ZSTC Makonyo Wawi
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mzee Ali Omar Abdalla baada ya kumaliza mkutano wake na Wazee wa CCM wa Wilaya ya Chakechake Pemba uliofanyika katika ukumbi wa kiwanda cha ZSTC cha Makonyo Wawi.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba.Mhe. Hemed Suleiman Abdalla, alipowasili Uwanja wa Ndege wa Chakechake Pemba leo kuaza ziara yake Kisiwani Pemba, kushoto Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba.Mhe.Omar Othman Khamis,Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar.Dr. Abdalla Juma Mabodi na Makamu Mwenyekiti wa UWT.Bi. Thuwaiba Editon Kisasi
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar.Dr. Abdalla Juma Mabodi akizungumza na Wazee wa CCM Wilaya ya Chakechake Pemba, kabla ya kumkaribisha Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, kuzungumza na Wazee hao katika ukumbi wa Kiwanda cha Makonyo Wawi.(Picha na Ikulu)
WAZEE wa Wilaya ya Chakechake Pemba wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwahutubia katika ukumbi wa mkutano wa ZSTC Makonyo, wakati wa ziara yake Kisiwani Pemba na kuzungumza na Wazee wa CCM wa Wilaya hiyo leo 9-10-2019

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...