Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto (kulia), akimsikiliza mhudumu wa Vodacom katika kampuni ya mabasi ya Shabiby jinsi wanavyopokea wateja wanaolipa kupitia huduma ya Vodacom ya Lipa Kwa Simu Yako wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo katika ofisi za Shabiby jijini Dodoma leo. Kushoto ni ni Meneja wa Lipa, Luis Maro.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto (kulia), akimsikiliza mhudumu wa Vodacom katika kampuni ya mabasi ya Shabiby jinsi wanavyopokea wateja wanaolipa kupitia huduma ya Vodacom ya Lipa Kwa Simu Yako wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo katika ofisi za Shabiby jijini Dodoma leo. Kushoto ni ni Meneja wa LIpa, Luis Maro.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto, akimsikiliza mkurugenzi wa kampuni ya mabasi ya Shabiby, Mohammed Shabiby (kushoto) jinsi wanavyopokea wateja wanaolipa kupitia huduma ya Vodacom ya Lipa Kwa Simu Yako wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo katika ofisi za Shabiby jijini Dodoma leo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto (kushoto), akionyeshwa namna meseji ya “Lipa kwa simu yako” inayoingia kutoka kwa mkurugenzi wa kampuni ya mabasi ya Shabiby, Mohammed Shabiby (kushoto) baada ya mteja kulipa kupitia huduma hiyo wakati wa uzinduzi katika ofisi za Shabiby jijini Dodoma leo.
Ofisa Masoko wa Vodacom, Robert Massinda, akimuelekeza mteja wa Vodacom, Fatma Haji wakati akilipia tiketi yake kwa “Lipa Kwa Simu Yako” kwenye kampuni ya mabasi ya Shabiby wakati wa uzinduzi wa huduma wa huduma hiyo Dodoma leo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto (kulia), akimsikiliza mfanyakazi wa kampuni ya mabasi ya Shabiby jinsi wanavyopokea wateja wanaolipa kupitia huduma ya Vodacom ya Lipa Kwa Simu Yako wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo katika ofisi za Shabiby jijini Dodoma leo
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto (katikati), akimsikiliza mkurugenzi wa kampuni ya mabasi ya Shabiby, Mohammed Shabiby (kushoto) jinsi wanavyopokea wateja wanaolipa kupitia huduma ya Vodacom ya Lipa Kwa Simu Yako wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo katika ofisi za Shabiby jijini Dodoma leo. Kushoto ni Meneja wa Lipa, Luis Maro.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto (katikati), akimsikiliza mkurugenzi wa kampuni ya mabasi ya Shabiby, Mohammed Shabiby (kushoto) jinsi wanavyopokea wateja wanaolipa kupitia huduma ya Vodacom ya Lipa Kwa Simu Yako wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo katika ofisi za Shabiby jijini Dodoma leo. Kushoto ni Meneja wa Lipa, Luis Maro.
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...