Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikabidhiwa zawadi ya kiti cha wazee na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wazee Tanzania, Abdallah Majumba (kushoto) baada ya kuhutubia katika Maadhiisho ya Siku ya Wazee Duniani yaliyofanyika kitaifa kwenye Uwanja wa Nangwada Sijaona mjini Mtwara, Oktoba 1, 2019. Katikati ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa amekalia kiti cha wazee alichozawadiwa na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wazee Tanzania, Abdallah Majumba (kushoto) baada ya kuhutubia katika Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani yaliyofanyika kitaifa kwenye uwanja wa Nangwada Sijaona mjini Mtwara, Oktoba 1, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...