Mkurugenzi
wa Vodacom Tanzania, Hisham Hendi akizungumza na wageni waalikwa kwenye
tafrija ya Utalii wa Zanzibar mwishoni mwa wiki. Vodacom walidhamini
tafrija hiyo iliyofanyika 6 Degrees Hotel mjini Zanzibar.
Msanii Ali Kiba akitoa
burudani kwenye tafrija ya Utalii wa Zanzibar mwishoni mwa wiki.
Vodacom walidhamini tafrija hiyo iliyofanyika 6 Degrees Hotel mjini
Zanzibar.
Wageni waalikwa wakipata burudani toka kwa Msanii Ali Kiba.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...