Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania, Hisham Hendi akizungumza na wageni waalikwa kwenye tafrija ya Utalii wa Zanzibar mwishoni mwa wiki. Vodacom walidhamini tafrija hiyo iliyofanyika  6 Degrees Hotel mjini Zanzibar.
Msanii Ali Kiba akitoa burudani kwenye tafrija ya Utalii wa Zanzibar mwishoni mwa wiki. Vodacom walidhamini tafrija hiyo iliyofanyika 6 Degrees Hotel mjini Zanzibar.
Wageni waalikwa wakipata burudani toka kwa Msanii Ali Kiba.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...