Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mary wakimpa pole Mhandisi Dioniz Majogo wakati walipokwenda nyumbani kwa Waziri wa zamani, Edgar Majogo, Ununio jijini Dar es salaam kutoa pole kwa familia kufutia kifo cha Elizabeth Majogo, mke wa Mheshimiwa Majogo, Oktoba 20, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...