Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Mark Ocitti (kushoto), akipokea tuzo ya udhamini wa mashindano ya gofu ya Waitara trophy 2019 kutoka kwa mwenyekiti wa klabu ya gofu Lugalo, Brigedia Generali mstaafu, Michael Luwongo (kulia) katika hafla ya chakula cha jioni iliyofanyika jijini Dar es Salaam jumamosi.

Mgeni rasmi Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Benjamin Sitta  akimkabidhi zawadi mshindi wa kwanza mashindano ya Gofu ya Waitara trophy 2019, Samuel Kileo aliyeshinda kwa NET 64

Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Benjamin Sitta  akimpongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Mark Ocitti kwa kampuni ya hiyo kudhamini mashindano ya Gofu ya Waitara trophy 2019
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Mark Ocitti akizungumza na wageni waalikwa kwenye hafla ya chakula jioni iliyoambatana na  kutoa zawadi kwa washindi wa mashindano ya Gofu ya Waitara trophy 2019.
 Wageni waalikwa waliohudhuria kwenye hafla ya chakula cha jioni

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...