Mkurugenzi
Mtendaji wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Mark Ocitti (kushoto), akipokea
tuzo ya udhamini wa mashindano ya gofu ya Waitara trophy 2019 kutoka
kwa mwenyekiti wa klabu ya gofu Lugalo, Brigedia Generali mstaafu,
Michael Luwongo (kulia) katika hafla ya chakula cha jioni iliyofanyika
jijini Dar es Salaam jumamosi.
Mgeni
rasmi Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Benjamin Sitta akimkabidhi zawadi
mshindi wa kwanza mashindano ya Gofu ya Waitara trophy 2019, Samuel
Kileo aliyeshinda kwa NET 64
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Benjamin Sitta akimpongeza Mkurugenzi
Mtendaji wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Mark Ocitti kwa kampuni ya hiyo
kudhamini mashindano ya Gofu ya Waitara trophy 2019
Mkurugenzi
Mtendaji wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Mark Ocitti akizungumza na
wageni waalikwa kwenye hafla ya chakula jioni iliyoambatana na kutoa
zawadi kwa washindi wa mashindano ya Gofu ya Waitara trophy 2019.
Wageni waalikwa waliohudhuria kwenye hafla ya chakula cha jioni
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...