Hekahela langoni mwa timu ya Timu la Lipuli ya Mjini Iringa katika mchezo wa Ligi kuu uliopigwa jioni hii katika Uwanja wa Samora dhidi ya Timu ya Mwadui ya Shinyanga. Mchezo huo umemalizika kwa Timu ya Lipuli kuibugiza mabao mawili kwa nunge (2-0) yaliyotiwa kimiani na Mshambuliaji Daruesh Saliboko.
Beki wa Timu ya Lipuli, Novart Lufunga akiwania mpira wa juu ya Mshambuliaji wa Timu ya Mwadui, Raphael Aloba, katika mchezo wa ligi Kuu Tanzania Bara, uliopigwa jioni hii katika Uwanja wa Samora, Mkoani Iringa. Lipuli imeshinda 2-0.
"...ukitua tu, naondoka nao..."
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...