Rais wa TFF Wallace Karia leo amefanya Mazungumzo na Rais wa Chama cha Soka cha Umoja wa Nchi za Falme ya Kiarabu Eng.Marwan Bin Ghalita(Watatu kutoka kushoto) mazungumzo yaliyohudhuriwa na Katibu Mkuu TFF Kidao Wilfred na Katibu Mkuu wa Chama cha Soka UAE Mohamed Abdulla Hazzam Al Dhahari,mazungumzo yaliyofanyika Makao Makuu ya Chama cha Soka UAE,pande hizo mbili zimekubaliana kushirikiana kwenye maeneo mbalimbali.
Home
MICHEZO
TFF YAFANYA MAZUNGUMZO NA CHAMA CHA SOKA CHA UMOJA WA NCHI ZA FALME ZA KIARABU (UAE FA)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...