Balozi wa Tanzania nchini Kenya Dkt . Pindi Chana akiwasilisha hati za utambulisho ofisi za Umoja wa Mataifa Nairobi, Kenya kuwa mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika Shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi (UN Habitat) na Mazingira (UNEP).Kushoto ni Maimunah Mohd Sharing,Mkurugenzi Mtendaji, UN-Habitat.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...