Kaimu Mkurugenzi Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Kimataifa Ofisi ya Bunge, Ndg. Daniel Eliufoo akizungumza na Wajumbe wanaoshiriki katika Bunge la Vijana 2019 wakati wa mafunzo yaliyoanza leo katika ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Bunge hilo linategemewa kufunguliwa rasmi na Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai, 19 Novemba, 2019 katika ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma
Mwandishi mwandamizi wa Taarifa rasmi za Bunge kutoka Ofisi ya Bunge, Ndg. Patson Sobha akitoa mafunzo kwa Wajumbe wanaoshiriki katika Bunge la Vijana 2019 lililoanza leo katika ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Shughuli za Bunge Ofisi ya Bunge, Ndg. Joshua Chamwela akitoa mafunzo kwa Wajumbe wanaoshiriki katika Bunge la Vijana 2019 lililoanza leo katika ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Bunge hilo linategemewa kufunguliwa rasmi na Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai, 19 Novemba, 2019 katika ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma
Kaimu Mkurugenzi Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Kimataifa Ofisi ya Bunge, Ndg. Daniel Eliufoo akizungumza na Wajumbe wanaoshiriki katika Bunge la Vijana 2019 wakati wa mafunzo yaliyoanza leo katika ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Bunge hilo linategemewa kufunguliwa rasmi na Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai, 19 Novemba, 2019 katika ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma
Washiriki Mbalimbali wa Bunge la Vijana 2019 wakiwa katika mafunzo ya Bunge hilo yaliyoanza leo katika ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...