Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, William Ntimika ambaye alimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, akipokea sehemu ya madawati kutoka kwa Meneja Mwandamizi wa Benki ya CRDB anayeshughulikia masuala ya Serikali za Mitaa, Suzan Shuma katika hafla iliyofanyika Novemba 30, 2019 katika kitongoji cha LUPA Wilayani Chunya, mkoani Mbeya kwa ajili ya Shule za Sekondari na Msingi zilizomo katika Kata Sita za LUPA, yaliyotolewa na Benki ya CRDB. Jumla ya madawati na Viti 240 vilivyotolewa.
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, William Ntimika akimkabidhi Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Chunya, Sophia Kumbuli Madawati yaliyotolewa na Benki ya CRDB kwa ajili ya kata Sita za LUPA Wilayani Chunya katika hafla fupi iliyofanyika Novemba 30, 2019 katika kitongoji cha LUPA Wilayani Chunya, mkoani Mbeya. Kulia ni Meneja Mwandamizi wa Benki ya CRDB anayeshughulikia masuala ya Serikali za Mitaa, Suzan Shuma.
Picha ya pamoja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...