Naibu Waziri wa TAMISEMI Mhe. Mwita Waitara akicheza ngoma na
wacheza ngoma ya Litungu ya kabila la Wakurya waliokuwa wakitumbuiza
kunogesha Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na 57 ya Jamhuri uwanja wa CCM
Kirumba jijini Mwanza leo Desemba 9, 2019.
Msanii Rajabu Abduli maarufu kama “Harmonize” akitumbuiza
katika kunogesha Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na 57 ya Jamhuri uwanja
wa CCM Kirumba jijini Mwanza leo Desemba 9, 2019.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...