Meneja Mawasiliano na Elimu kwa Umma,wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA),Gaudensia Simwanza akitoa maelezo kwa Bi.Graceous Gallet Afisa Mlinzi wa Walaji kutoka Tume ya Ushindani (FCC) wakati alipotembelea banda la taasisi hiyo kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na taasisi hiyo kwenye maonesho ya nne ya Bidhaa za Viwanda yaliyomalizika na kufungwa jana kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere Barabara ya Kilwa jiji Dar es salaam
Meneja Mawasiliano na Elimu kwa Umma,wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA),Gaudensia Simwanza akitoa maelezo kwa Bi.Graceous Gallet Afisa Mlinzi wa Walaji kutoka Tume ya Ushindani (FCC) na wenzake wakati alipotembelea banda la taasisi hiyo kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na taasisi hiyo kwenye maonesho ya nne ya Bidhaa za Viwanda yaliyomalizika na kufungwa jana kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere Barabara ya Kilwa jiji Dar es salaam

Meneja Mawasiliano na Elimu kwa Umma,wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA),Gaudensia Simwanza akitoa maelezo kwa Bi.Graceous Gallet Afisa Mlinzi wa Walaji kutoka Tume ya Ushindani (FCC) wakati alipotembelea banda la taasisi hiyo kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na taasisi hiyo kwenye maonesho ya nne ya Bidhaa za Viwanda yaliyomalizika na kufungwa jana kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere Barabara ya Kilwa jiji Dar es salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...