Tunashukuru jinsi kampuni ya mawasiliano ya TIGO inavyoleta hamasa kwa vijana kupitia miradi mbalimbali ya kuwainua. Leo tunakabidhi gari kwa mshindi wa TIGO Chemsha Bongo toka Zanzibar Bw. Shaban Hamis” Mh. Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Hassan Khatib Hassan
#MshindiTigoChemshaBongo





Msheheshaji akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe. Bwana Hassan Khatib Hassan katika halfa ya kumkabidhi zawadi ya gari mshindi wa TIGO Chemsha Bongo #MshindiTigoChemshaBongo


“Tunampongeza mshindi wa Tigo Chemsha Bongo Bw. Shaban Hamis aliejishindia gari aina Renault Kwid kutoka Tigo kampuni ambayo tunashirikiana nayo kwenye mambo mengi ya kimaendeleo”Aljazeera - Mwakilishi wa Jimbo Raha Leo #MshindiTigoChemshaBongo


PICHA ADIMU ya mshindi wa TIGO Chemsha Bongo Bw. Shaban Khamis akiwa na “mke mdogo” katika gari yake mpya aina ya Renault KWID yenye thamani ya Tsh 23,000,000 (Zero Km)‬#MshindiTigoChemshaBongo
Mh. Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Hassan Khatib Hassan akikabidhi nyaraka za usajili wa gari aina ya Renault KWID yenye 0 Km (yenye thamani ya 23,000,000) kwa mshindi wa TIGO Chemsha Bongo Bw. Shaban Khamis akiwa na “mke mdogo” wake.
#MshindiTigoChemshaBongo


NJOO KWEREKWE USHUHUDIE sasa hivi gari la mshindi wa TIGO Chemsha Bongo akiwepo na Mshindi mwenyewe Bw. Shaban Khamis #MshindiTigoChemshaBongo

GARI IMEFIKA salama nyumbani kwa Bw. Shabani Khamis wakapata na picha ya ukumbusho na familia. Tukumbuke hii ni Renault Kwid yenye thamani ya Tsh 23,000,000 (Zero Km)#MshindiTigoChemshaBongo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...