Wafanyakazi wa Kampuni ya
mawasiliano ya Vodacom wakiwa wamebeba bango lenye picha ya simu ya
Smart Kitochi wakati wa uzinduzi wa simu hiyo uliofanyika jijini
Mwanza.
Kaimu mkuu wa mauzo wa Kampuni ya
mawasiliano ya Vodacom kanda ya Ziwa, Ayubu Kalufya akizungumza na
waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa simu ya Smart Kitochi,
uliofanyika jijini Mwanza.
Wateja wa simu mpya za Smart
Kitochi zenye uwezo wa 4G kutoka Vodacom wakipatiwa maelezo ya kuhusu
simu hizo zitakazopatikana kwenye maduka ya Vodacom nchini kote kwa bei
ya shilingi 45,000/= katika msimu huu wa sikukuu wakati wa uzinduzi wa
simu hizo jijini Mwanza.
Wateja wa simu mpya za Smart Kitochi zenye uwezo wa 4G
kutoka Vodacom, wakijipiga selfie kwa kutumia simu hiyo baada ya
kuinunua jijini Mwanza, wakati wa uzinduzi wa simu hiyo inayopatikana
kwenye maduka ya Vodacom nchini kote kwa bei ya shilingi 45,000/= katika
msimu huu wa sikukuu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...