Baadhi ya wafungwa waliopata msamaha wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John  Pombe  Magufuli wakiagana na Mkuu wa Jeshi la Magereza Mkoa wa Simiyu, ACP Andulile Mwasampeta (kulia) Desemba 10, 2019 mara baada ya kuachiwa kufuatia msamaha huo uliotolewa na Mhe. Rais katika sherehe za miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara, Desemba 09, 2019 Jijini Mwanza.
Sehemu ya Wafungwa 136 kutoka  mkoa wa Simiyu  waliopata msamaha wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John  Pombe  Magufuli  wakiwa tayari kuondoka katika Gereza la Bariadi Desemba 10, 2019 mara baada  ya kuachiwa huru kufuatia msamaha huo uliotolewa na Mhe. Rais katika sherehe za miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara, Desemba 09, 2019 Jijini Mwanza.
Sehemu ya Wafungwa 136 kutoka  mkoa wa Simiyu  waliopata msamaha wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John  Pombe  Magufuli  wakishuka kwenye magari yaliyowasafirisha kutoka magereza mbalimbali mkoani Simiyu kuwaleta Gereza la Bariadi, Desemba 10, 2019  kwa ajili ya kuruhusiwa kurejea majumbani kwao kufuatia msamaha huo uliotolewa na Mhe. Rais katika sherehe za miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara, Desemba 09, 2019 Jijini Mwanza.
Mkuu wa Jeshi la Magereza Mkoa wa Simiyu, ACP Andulile Mwasampeta (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) Desemba 10, 2019  mara baada ya kuwaachia  wafungwa 136 kufuatia msamaha wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John  Pombe  Magufuli  alioutoa katika sherehe za miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara, Desemba 09, 2019 Jijini Mwanza.

Bw. Buluba George miongoni mwa wafungwa 136 mkoani Simiyu waliopata msamaha wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John  Pombe  Magufuli  alioutoa katika sherehe za miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara, Desemba 09, 2019 Jijini Mwanza akimshukuru Mhe. Rais kwa msamaha huo mbele ya waandishi wa habari, Desemba 10, 2019
Baadhi ya wafungwa waliopata msamaha wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John  Pombe  Magufuli wakiagana na Mkuu wa Jeshi la Magereza Mkoa wa Simiyu, ACP Andulile Mwasampeta (kushoto) Desemba 10, 2019   mara baada ya kuachiwa huru kufuatia msamaha huo uliotolewa na Mhe. Rais katika sherehe za miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara, Desemba 09, 2019 Jijini Mwanza.
Bw. Musa Lazaro miongoni mwa wafungwa 136 mkoani Simiyu waliopata msamaha wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John  Pombe  Magufuli  alioutoa katika sherehe za miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara, Desemba 09, 2019 Jijini Mwanza akimshukuru Mhe. Rais kwa msamahahuo mbele ya waandishi wa habari, Desemba 10, 2019 
Baadhi ya wafungwa wakitoka katika gereza la Bariadi Desemba 10, 2019 mara baada ya kuachiwa huru kufuatia msamaha wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John  Pombe  Magufuli  alioutoa katika sherehe za miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara, Desemba 09, 2019 Jijini Mwanza. PICHA NA OFISI YA MKUU WA MKOA WA SIMIYU


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...