Spika wa Bunge Mstaafu, Mhe. Anne Makinda akiteta jambo na Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai walipokutana leo katika ofisi ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Kimataifa Ofisi ya Bunge, Ndg. Daniel Eliufoo
Spika wa Bunge Mstaafu, Mhe. Anne Makinda akiteta jambo na Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai walipokutana leo katika ofisi ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Kimataifa Ofisi ya Bunge, Ndg. Daniel Eliufoo
Spika Mstaafu, Mhe. Anne Makinda (wa pili kulia mbele) katika picha ya pamoja na watumishi wa ofisi ya Bunge nje ya ofisi hiyo Jijini Dar es Salaam. Wa pili kushoto mbele ni Katibu wa Bunge, Ndg.Stephen Kagaigai
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...