AFISA wa Kamati ya Uchaguzi ya Chama Risasi Semasaba akimkabidhi fomu ya kuwania nafasi ya Uenyekiti wa Ngome ya Wanawake ACT Wazalendo Mkiwa Kimwanga

Mkiwa Kimwanga kushoto akijaza fomu kulia ni Afisa wa Kamati ya Uchaguzi ya Chama Risasi Semasaba

Mkiwa Kimwanga kionyesha fomu zake za kwania nafasi hiyo
 
NA MWANDISHI WETU,  

MKIWA Kimwanga amechukua fomu za uenyekiti wa wa Ngome ya Wanawake Taifa ya Chama cha ACT Wazalendo. 

Mkiwa ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Mkoa wa Mwanza amechukua fomu hizo mapema leo ikiwa ni Mwanamke wa Tatu kuchukua kujitokeza kuwania nafasi. 

Wengine ambao wamekwisha kuchukua fomu ya kuwania nafasi hiyo ni Janeth Rithe na Salma Mwasa ambapo uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika hivi karibuni. 

Pazia la kuchukua na kurejesha fomu kwenye uchaguzi wa ACT Wazalendo unatarajiwa kufanyika mwezi Machi Mwaka 2020 na litafungwa February 26 mwaka huu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...