Mjasiliamali wa samaki katika kituo cha Mabasi cha Mkuranga mkoa wa Pwani ,akitayarisha Samaki kwa lengo la kuwauza kwa wateja mbalimbali watakaofika katika kituo hicho kama inavyoonekana pichani.
(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
Kazi ikiendeelea ya kuuza samaki katika kituo cha Mabasi Tabata Segerea Wilaya ya Ilala Jijini Da es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...