Mkurugenzi wa Idara ya Usambazaji Maji, Wizara ya Maji Mhandisi Nadhifa Kemikimba akipanda katika tanki la maji la Ushirika wilayani Igunga kujionea kiwango cha msukumo wa maji. Tanki hilo lina uwezo wa kutunza maji lita milioni 2.5 na linatosha kuhudumia mji wa Igunga na pembezoni.
.
Moja ya tanki la kuhifadhi maji kwa ajili ya huduma kwa wananchi wa Nzega.
Mkazi wa wilayani Nzega, Mkoa wa Tabora akichota maji kutoka ziwa Victoria katika moja ya vibanda vilivyojegwa maalum kwa huduma ya maji kwa wananchi.
Maji: Moja ya vibanda vya kutoa huduma ya maji kwa jamii mkoani Tabora, katika mradi mkubwa wa maji wa Tabora-Igunga-Nzega. Chanzo cha maji ni ziwa Victoria.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...