Baadhi ya askari wakiusindikiza
mwili wa Rais Mstaafu wa Kenya hayati Daniel Arap Moi katika maombolezo
ya msiba huo nchini Kenya.
Moja ya bango lililopo barabarani likiashiria maombolezo ya msiba wa Rasi Mstaafu wa Kenya hayati Daniel Arap Moi
Msafara wa magari likiwemo gari
lililobeba mwili wa Rais Mstaafu wa Kenya hayati Daniel Arap Moi katika
maombolezi ya msiba huo nchini Kenya
Rais mstaafu wa awamu ya Tatu
Mhe.Benjamin Mkapa akisaini Kitabu cha maombolezo katika msiba wa Rais
mstaafu wa Kenya, hayati Daniel Arap Moi.
Marais wastaafu wa Tanzania
William Benjamin MKapa pamoja na Jakaya Mrisho Kikwete wakiwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomokenyetta,Nairobi nchi Kenya kwa ajili ya kushiriki mazishi Rais Mstaafu wa Kenya hayati Daniel Arap Moi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...