Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Brigedia Jenerali Marco Gaguti (kushoto), baada ya kuwasili mkoani Kagera leo kwa ziara ya kikazi.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
 Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani Kagera wakimsikiliza Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kulia),wakati wa kikao cha ndani kilichohusu masuala ya Ulinzi na Usalama.Wapili kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera,Brigedia Jenerali Marco Gaguti.Naibu Waziri Masauni amewasili mkoani Kagera leo kwa ziara ya kikazi.
 Mkuu wa Mkoa wa Kagera,Brigedia Jenerali Marco Gaguti akizungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni(kulia)juu ya masuala mbalimbali ya Ulinzi na Usalama baada ya Naibu Waziri Masauni kuwasili mkoani hapo leo kwa ziara ya kikazi.

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akisaini kitabu cha wageni baada ya kuwasili ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera,Brigedia Jenerali Marco Gaguti(kushoto).Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...