Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akishiriki katika dua na Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh
Abubakary Zubeiry Bin Ally na viongozi wengine waandamizi wa Baraza
Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) alipofanya ziara ya kustukiza
kukagua maendeleo ya Ujenzi wa Msikiti wa Bakwata unaojengwa kwa
ufadhili wa Mfalme Mohamed wa Sita wa Morocco Kinondoni jijini Dar es
salaam leo Ijumaa 28, 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikagua makabati maalumu kwa ajili ya kuwekea viatu vya waumini wakati wa swala alipofanya ziara ya kustukiza kukagua maendeleo ya Ujenzi wa Msikiti wa Bakwata unaojengwa kwa ufadhili wa Mfalme Mohamed wa Sita wa Morocco Kinondoni jijini Dar es salaam leo Ijumaa 28, 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akiwa na Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakary
Zubeiry Bin Ally na viongozi wengine waandamizi wa Baraza Kuu la
Waislamu Tanzania (BAKWATA) akitembezwa kukagua maendeleo ya Ujenzi wa
Msikiti wa Bakwata unaojengwa kwa ufadhili wa Mfalme Mohamed wa Sita
wa Morocco Kinondoni jijini Dar es salaam leo Ijumaa 28, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiongea machache na Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakary Zubeiry
Bin Ally na viongozi wengine waandamiz wa Baraza Kuu la Waislamu
Tanzania (BAKWATA) baada ya kufanya ziara ya kustukiza kukagua
maendeleo ya Ujenzi wa Msikiti wa Bakwata unaojengwa kwa ufadhili wa
Mfalme Mohamed wa Sita wa Morocco Kinondoni jijini Dar es salaam leo
Ijumaa 28, 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John
Pombe Magufuli akisindikizwa na Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh
Abubakary Zubeiry Bin Ally na viongozi wengine waandamiz wa Baraza Kuu
la Waislamu Tanzania (BAKWATA) baada ya kukagua maendeleo ya Ujenzi wa
Msikiti wa Bakwata unaojengwa kwa ufadhili wa Mfalme Mohamed wa Sita
wa Morocco Kinondoni jijini Dar es salaam leo Ijumaa 28, 2020
Muonekano wa Msikiti ambao Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakary Zubeiry Bin Ally na viongozi wengine waandamizi wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) ametembelea na kukagua maendeleo ya Ujenzi wa Msikiti huo wa Bakwata unaojengwa kwa ufadhili wa Mfalme Mohamed wa Sita wa Morocco Kinondoni jijini Dar es salaam leo Ijumaa Februari 28, 2020 PICHA NA IKULU
Muonekano wa Msikiti ambao Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakary Zubeiry Bin Ally na viongozi wengine waandamizi wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) ametembelea na kukagua maendeleo ya Ujenzi wa Msikiti huo wa Bakwata unaojengwa kwa ufadhili wa Mfalme Mohamed wa Sita wa Morocco Kinondoni jijini Dar es salaam leo Ijumaa Februari 28, 2020 PICHA NA IKULU
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...