RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikilizaMwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB Ndg. Ally Hussein Laay, akitowa maelezo ya mafanikio ya Benki ya CRDB wakati wa mazungumzo hayo na kumtambulisha Mkurugenzi Mtendaji mpya wa CRDB Ndg. Abdulmajid Mussa Nsekela, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar,13-2-2020. (Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB Ndg. Ally Hussein Laay, alipowasili katika ukumbi kwa mazungumzo na Ujumbe wa CRDB  uliuofika Ikulu Jijini Zanzibar leo, 13-2-2020 kwa mazungumzo na kumtambulisha Mkurugenzi Mtendaji mpya wa CRDB.Ndg. Abdulmajid Mussa Nsekela (kulia) (Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa na mgeni wake Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB.Ndg. Abdulmajid Mussa Nsekela, na (katikati) Mwenyekiti  wa Bodi ya Wakurugenzi  Benki ya CRDB Ndg. Ally Hussein Laay, wakitoka katika ukumbi  baada ya kumaliza mazungumzo yao alipofika kujitambulisha leo 13- 2-2020 Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein  akiwa katika picha ya pamoja na wageni wake (kushoto kwa Rais ) Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB. Ndg. Ally Hussein Laay na (kulia kwa Rais) Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB.Ndg. Abdulmajid Mussa Nsekela.(Picha na Ikulu)  
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi  ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB. Ndg. Ally Hussein Laay (kulia kwa Rais) na (kushoto kwa Rais) Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB. Ndg. Abdulmaji Mussa Nsekela.(Picha na Ikulu )

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...